Shabiki wa Ireland Kaskazini, amefia uwanjani wakati akishuhudia timu yake ikimgonga Ukraine kwenye mashindano ya Mpira kwa nchi za Ulaya.
Robert Rainey ama kwa jina lingine Archie, alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo ambao ndio umechukua uhai wake akiangalia mechi hiyo kwenye uwanja wa Stade de Lyon.
Familia ya Archie, imesema Robert amefariki wakati anafanya kile anachokipenda kuliko vyote.
Ireland Kaskazini iliibabua Ukraine magoli mawili bila majibu magoli yaliyofungwa na
Ijumaa, 17 Juni 2016
Euro 2016: Shabiki wa Ireland Kaskazini, Afia uwanjani
About Unknown
Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Write maoni