Bingwa mara mbili wa Olimpiki wa
riadha Usain Bolt amethibitisha kwamba yeye atashiriki katika michezo ya
maadhimisho mjini London umbali wa Mita 200 hapo Julai 22 .
Naye mfukuza upepo Zharnel Hughes, mshindi namba tano wa mwaka jana katika michuano ya Dunia 200m, naye anatarajia kushiriki katika mbio hizo.
Hakuna maoni:
Write maoni