Timu ya Ureno na Iceland zimetoshana nguvu katika Mchezo uliomalizika kwa Timu hizo kugawana alama kufuatia sare ya bao 1-1.
Na katika mchezo wa mapema Austria ikicheza na Hungary , Hungary iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Adam Szalai na Zoltan Stieber na kuongoza kundi F.
Fainali hizi zinatarajiwa kuendelea tena jumatano kwa michezo Mitatu, Urusi itaivaa Slovakia, Romania itachuana na Switzerland na wenyeji Ufaransa itacheza na Albania
Hakuna maoni:
Write maoni