Future, Usher, na Bryson Tiller wametangazwa kuongezwa kwenye orodha
ya wasanii watakaotumbuiza siku hiyo. Wanaungana na mastaa wengine
waliokuwa wametangazwa awali ambao ni pamoja na Alicia Keys, Maxwell,
pamoja na tribute ya Prince itakayotolewa na D’Angelo, The Roots na
Janelle MonĂ¡e.
Mastaa watakaokabidhi tuzo ni pamoja na DJ Khaled, Gabrielle Union,
Tinashe, Fantasia, Regina Hall, Birdman, Jermaine Dupri, Dame Dash na
Snoop Dogg.
Diamond ni miongoni mwa wasanii wanaowania tuzo hizo mwaka huu kwenye kipengele cha Best International Act: Africa.
Washereheshaji wa show hiyo watakuwa ni Anthony Anderson na Tracee Ellis Ross.
Tuzo hizo zitatolewa June 26 live kutoka Microsoft Theater, Los Angeles, Marekani.
ENDELEA KUMPIGIA KURA DIAMOND PLATNUM ILI ARUDI NA TUZO HIYO.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Write maoni