Kampuni ya Microsoft imekuwa ya hivi
karibuni kujiunga na biashara ya kuuza bangi katika majimbo ya nchini
Marekani ambako inaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za majimbo hayo.
Majimbo kadhaa nchini Marekani yameruhusu uuzaji wa bangi kwa matumizi ya kimatibabu na kujistarehesha, japo imeharamishwa chini ya sheria kuu za nchi hiyo.
Hakuna maoni:
Write maoni